Kipa Arijanet Muric (kushoto) akipongezwa na wachezaji wenzake wa Manchester City baada ya kuokoa penalti mbili katika ushindi wa penalti 3-1 kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya Leicester City usiku wa jana Uwanja wa King Power kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Kevin De Bruyne alianza kuifungia Manchester City dakika ya 14, kabla ya Marc Albrighton kuisawazishia Leicester dakika ya 73 kabla ya Muric kuokoa penalti za James Maddison na Caglar Soyuncu kuivusha Man City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Arsenal and Wales star Aaron Ramsey reveals Mexican club terminated
HIS contract after mysterious disappearance of his beloved pet dog
-
The former Arsenal and Juventus midfielder, now 34, swapped the
Championship for Liga MX last summer in a move which was met by much
fanfare in the Latin c...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment