Xherdan Shaqiri akishangilia kibosi baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 73 na 80 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Manchester United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bao lingine la Liverpool inayofikisha pointi 45 na kupanda kileleni ikiizidi kwa pointi moja Manchester City, limefungwa na Sadio Mane dakika ya 24, wakati la Man United limefungwa na Jesse Lingard dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
All you need to know about Sports Personality of the Year 2025
-
BBC Sport has everything you need to know about BBC Sport's Personality of
The Year 2025 and how to vote.
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment