Mshambuliaji wa zamani wa Azam FC, Kipre Herman Tchetche (kushoto) anayechezea Terengganu FA kwa sasa ameposti picha hii katika ukurasa wake wa Instagram akishukuru kwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Malaysia mwezi Septemba. Na chini ni picha ya bango la FA ya Malaysia kumtangaza Tchetche kuwa Mchezaji Bora wa Septemba, 2017
A 'novice' who can 'punch a bit' - how good is Paul?
-
BBC Sport takes a look inside Jake Paul’s camp and assesses his boxing
ability before Friday's fight with Anthony Joshua in Miami.
46 minutes ago




.png)
0 comments:
Post a Comment