Chipukizi wa umri wa miaka 18 Edward Nketiah akishangilia baada ya kuifungia mabao yote Arsenal dakika za 85 na 96 kufuatia kuingia akitokea benchi dakika ya 85 kuchukua nafasi ya Reiss Nelson na kuwawezsha Washika Bunduki kushinda 2-1 dhidi ya Norwich City ndani ya dakika 120 usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London na kutinga Robo Fainali ya Kombe la Carabao. Bao la Norwich lilifungwa na Josh Murphy dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment