Kaimu Rais wa Simba, Salim Abdallah 'Try Again' (katikati) akiwa na kaimu makamu wa Rais, Iddi Kajuna (kulia) na Mwenyekiti wa Chama cha Soka Dar es Salaam (DRFA), Almasi Kasongo (kushoto) wakifuatilia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya mahasimu wa jadi, Yanga uliomalizika kwa sare ya 1-1 leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam
Kaimu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga (kushoto) akiwa na Makamu Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura (katikati) na Mbunge wa zamani wa Lindi Mjini, Abdulaziz Mudhihir
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
16 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment