Beki wa Simba, Method Mwanjali akiruka kibabe kama mcheza karate kuudhibiti mpira katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Yanga jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Hapa Method Mwanjali anamchezea rafu yenye kuonekana winga wa Yanga, Geofrey Mwashiuya lakini hakuonyeshwa hata kadi ya njano
Method Mwanjali akimvagaa Geoffrey Mwashiuya jana Uwanja wa Uhuru
Hapa Method Mwanjali akimdhibiti Ibrahim Ajib, mchezaji mwingine wa Yanga
'Snicko needs to be sacked' - Ashes controversy continues
-
Players' distrust of 'Snicko' grows as controversy continues with the
dismissal of Jamie Smith in the Adelaide Ashes Test.
21 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment