Beki wa Simba, Method Mwanjali akiruka kibabe kama mcheza karate kuudhibiti mpira katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Yanga jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Hapa Method Mwanjali anamchezea rafu yenye kuonekana winga wa Yanga, Geofrey Mwashiuya lakini hakuonyeshwa hata kadi ya njano
Method Mwanjali akimvagaa Geoffrey Mwashiuya jana Uwanja wa Uhuru
Hapa Method Mwanjali akimdhibiti Ibrahim Ajib, mchezaji mwingine wa Yanga
Lando Norris squirms on stage as his American McLaren boss makes 'domestic
violence joke' about his wife and reels off a string of expletives in
off-the-rails post-season party speech
-
F1 fans have been left shocked after McLaren boss Zak Brown went on an
unhinged rant in his end of season speech
8 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment