Chipukizi aliyepandishwa kutoka timu B, Jose Arnaiz akishangilia kwa staili yake baada ya kuifungia bao zuri la tatu Barcelona dakika ya 56 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Murcia kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme Uwanja wa Nueva Condomina, Murcia. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Paco Alcecer dakika ya 44 na Deulofeu dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Arsenal and Wales star Aaron Ramsey reveals Mexican club terminated
HIS contract after mysterious disappearance of his beloved pet dog
-
The former Arsenal and Juventus midfielder, now 34, swapped the
Championship for Liga MX last summer in a move which was met by much
fanfare in the Latin c...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment