Kiungo wa Yanga, Mkongo Papy Kabamba Tshishimbi akipasua katikati ya wachezaji wa Simba, Muzamil Yassin (kulia) na Emmanuel Okwi (kushoto) wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Mfungaji wa bao la Yanga jana, Obrey Chirwa (kushoto) akiwatoka wachezaji wa Simba,
Mfungaji wa bao la Simba jana, Shiza Kichuya (kushoto) akimtoka beki wa Yanga, Gardiel Michael
Mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajib (kulia) akimtoka kiungo wa Simba, Muzamil Yassin
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' (kulia) akiwa ameondosha mpira kwenye himaya ya kiungo wa Yanga, Pius Buswita
Beki wa Simba, Erasto Nyoni akiruka kwa staili ya kung-fu dhidi ya winga wa Yanga, Geoffrey Mwashiuya
Beki wa Yanga, Kevin Yondan, Emmanuel Okwi akimdhibiti mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi
Beki wa Yanga, Juma Abdul (kushoto) akiokoa dhidi ya kiungo wa Simba, Haruna Niyonzima
Kikosi cha Yanga katika mchezo jana
Kikosi cha Simba katika mchezo wa jana
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
20 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment