Cristiano Ronaldo na wachezaji wenzake wa Real Madrid wakiwa na huzuni baada ya kupoteza mchezo wa La Liga ugenini mbele ya wenyeji, Girona kwa kufungwa 2-1 Uwanja wa Manispaa ya Montilivi mjini Girona, Katalunya. Mabao ya Girona yalifungwa na Christhian Stuani dakika ya 54 na Christian Portu dakika ya 58, kufuatia Isco kuanza kuifungia Real dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police investigate cricket star over allegations of sexual touching
-
NSW fast bowler Ross Pawson has been stood down by Cricket NSW after police
launched an investigation into allegations of sexual touching.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment