Daniel Sturridge akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 leo Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi Huddersfield walioifunga Manchester United 2-1 Oktoba 21. Mabao mengine yalifungwa na Daniel Sturridge, Roberto Firmino dakika ya 58 na Georginio Wijnaldum dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: Ollie Pope plumbs new depths in England's dismal batting
response, more Snicko embarrassment and Nathan Lyon overtakes Aussie great
-
OLIVER HOLT IN ADELAIDE: England's hopes of regaining the Ashes are hanging
by the most frayed of threads after another dismal performance.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment