Kiungo mpya mshambuliaji wa Chelsea, Kai Havertz akiwa mazoezini na timu yake hiyo mpya uwanja wa Cobham leo kufuatia jana kukamilisha uhamisho wa rekodi, Pauni Milioni 89 kutoka Bayer Leverkusen ya kwao, Ujerumani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sekamana steps down as Ferwafa president
-
Rtd Brig. General, Jean-Damascène Sekamana has resigned from his position
as the President of the Rwanda Football Federation (FERWAFA).
The development w...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment