Mshambuliaji Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Ubelgiji mabao mawili dakika za 17 na 69 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Iceland kwenye mchezo wa Kundi la Pili Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Stade Roi Baudouin Jijini Brussels. Mabao mengne ya Ubelgiji yamefungwa na Axel Witsel dakika ya 13, Dries Mertens dakika ya 50 na Jeremy Doku dakika ya 79, wakati la Iceland lilifungwa na Holmbert Fridjonsson dakika ya 10 PCHA ZAD GONGA HAPA
76ers' Tyrese Maxey Talks Missed Fouls vs. Knicks in Game 2: 'We Can't
Dwell on That'
-
Tyrese Maxey says the Philadelphia 76ers can't dwell on the officiating
errors, confirmed by the NBA, that took place Monday during the Sixers'
Game 2 loss...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment