Wachezaji wa Chelsea wakipongezana kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The Amex. Mabao ya The Blues yalifungwa na Jorginho kwa penalti dakika ya 23, Reece James dakika ya 56 na Kurt Zouma dakika ya 66, wakati la Brighton lilifungwa na Leandro Trossard dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rosenior sacked by Chelsea after three months in charge
-
Chelsea sack head coach Liam Rosenior after losing five consecutive Premier
League matches without scoring for the first time since 1912.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment