Wachezaji wa Chelsea wakipongezana kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The Amex. Mabao ya The Blues yalifungwa na Jorginho kwa penalti dakika ya 23, Reece James dakika ya 56 na Kurt Zouma dakika ya 66, wakati la Brighton lilifungwa na Leandro Trossard dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Burnley vs Manchester City - Premier League LIVE: Latest score and updates
as Erling Haaland opens the scoring just FIVE minutes into Turf Moor clash
as Pep Guardiola's side look to leapfrog Arsenal in title race
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Burnley host Manchester City at Turf Moor.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment