Serge Gnabry amefunga mabao matatu, mabingwa watetezi Bayern Munich wakiibuka na ushindi wa 8-0 dhidi ya Schalke 04 katika mchezo wa ufunguzi wa Bundesliga usiku wa Ijumaa Uwanja wa Allianz Arena Jijini Munich. Gnabry alifunga dakika ya nne, 47 na 59, wakati mabao mengine yamefungwa na Leon Goretzka dakika ya 19, Robert Lewandowski kwa penalti dakika ya 31, Thomas Muller dakika ya 69, Leroy Sane dakika ya 71 na Jamal Muisala dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jason Terry Says James Harden Is 'Misunderstood' Amid Criticism for Nets Trade
-
There has been plenty of criticism for James Harden after forcing a trade
to the Brooklyn Nets, but former teammate Jason Terry is among the people
defendi...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment