BEKI MKALI WA MABAO, LAMINE MORO AONGEZA MKATABA WA KUITUMIKIA YANGA SC HADI MWAKA 2023
Beki wa Yanga SC, Mghana Lamine Moro akiwa na Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya klabu hiyo, Hersi Said baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuchezea Yanga SC hadi mwaka 2023 kufuatia mwanzo mzuri katika msimu huu akifunga mabao mawili katika mechi tano
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment