BEKI wa Manchester City, Joao Cancelo akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la kwanza dakika ya 41 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Croatia kwenye mchezo wa Kundi la Tatu Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Do Dragao Jijini Porto. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo yalifungwa na Diogo Jota dakika ya 58, Joao Felix dakika ya 70 na Andre Silva dakika ya 90 na ushei, wakati la Croatia lilifungwa na Bruno Petkovic dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Masters 2021: Hideki Matsuyama leads from Justin Rose, Xander Schauffele at Augusta National
-
Japan's Hideki Matsuyama shoots a 65 on Saturday to take a four-shot lead
into the final day of the Masters, with England's Justin Rose tied for
second.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment