BEKI wa Manchester City, Joao Cancelo akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la kwanza dakika ya 41 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Croatia kwenye mchezo wa Kundi la Tatu Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Do Dragao Jijini Porto. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo yalifungwa na Diogo Jota dakika ya 58, Joao Felix dakika ya 70 na Andre Silva dakika ya 90 na ushei, wakati la Croatia lilifungwa na Bruno Petkovic dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
McShay: Bo Nix Was 'Arrogant' Pick by Broncos; Didn't Know of Any Team with
R1 Grade
-
The Denver Broncos used the 12th pick in the 2024 NFL Draft on quarterback
Bo Nix, ensuring that the team got the quarterback that head coach Sean
Payton…
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment