BEKI wa Manchester City, Joao Cancelo akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la kwanza dakika ya 41 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Croatia kwenye mchezo wa Kundi la Tatu Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Do Dragao Jijini Porto. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo yalifungwa na Diogo Jota dakika ya 58, Joao Felix dakika ya 70 na Andre Silva dakika ya 90 na ushei, wakati la Croatia lilifungwa na Bruno Petkovic dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
JMU at Oregon score, live updates: Follow College Football Playoff
first-round action
-
Can James Madison make it more than one-and-done as the biggest underdog of
the first round?
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment