Neymar akiwa amebewa mabegani na Paulinho baada ya mshambuliaji huyo kuifungia Brazil bao la kwanza dakika ya 51 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Mexico leo kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia Uwanja wa Samara Arena nchini Urusi. Bao lingine la Brazil limefungwa na Roberto Firmino dakika ya 88 na sasa watakutana na mshindi kati ya Ubelgiji na Japan kwenye Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ryan Giggs responds to Premier League Hall of Fame snub as Man United
legend reveals what Ruben Amorim needs to deliver success
-
The former winger is a record 13-time Premier League winner - two more than
his former team-mate Paul Scholes. Giggs is also the competition's all-time
ass...
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment