Neymar akiwa amebewa mabegani na Paulinho baada ya mshambuliaji huyo kuifungia Brazil bao la kwanza dakika ya 51 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Mexico leo kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia Uwanja wa Samara Arena nchini Urusi. Bao lingine la Brazil limefungwa na Roberto Firmino dakika ya 88 na sasa watakutana na mshindi kati ya Ubelgiji na Japan kwenye Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Palace put £60m price tag on both Eze and Olise
-
Crystal Palace will only entertain offers for Eberechi Eze and Michael
Olise that start at £60m or more for each player.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment