Fabian Delph akiwa ameshika zawadi ya jezi ya mtoto ya timu ya taifa nchini Urusi jana aliyopewa na Chama cha Soka England (FA) aliporejea kwenye kambi ya Three Lions baada ya kupewa ruhusa kwenda nyumbani kufuatia kuzaliwa kwa mtoto wake wa tatu, wa kike. Delph alirejea England kabla ya mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia dhidi ya Colombia baada ya kuzaliwa binti yake huyo, lakini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 wa Manchester City amewahi mchezo wa Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United star Mason Mount is spotted walking with a mystery blonde woman
in Altrincham... before midfielder finds parking ticket on his £120,000
Land Rover
-
The Manchester United midfielder has endured a frustrating debut season at
Old Trafford following a £60million summer move from Chelsea. He was
pictured ou...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment