MSHAMBULIAJI Edinson Cavani bado yupo shakani kuichezea timu yake ya taifa, Uruguay mechi ya Robo Fainali Kombe la Dunia dhidi ya Ufaransa leo.
Hiyo ni baada ya kocha Oscar Tabarez kushindwa kuelezea maendeleo ya mchezaji huyo kuelekea mchezo wa leo jioni.
Cavani alifunga mabao yote mawili katika ushindi wa Uruguay wa 2-1 dhidi ya Ureno hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia, kabla ya kusaidiwa na Cristiano Ronaldo kutoka nje kufuatia kuumia.
Nyota huyo wa Paris Saint-Germain alifanya mazoezi peke yake jana kuelekea mchezo wa leo na Les Bleus mjini Nizhny Novgorod.
Edinson Cavani bado yupo shakani kuichezea Uruguay dhidi ya Ufaransa leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hiyo ni baada ya kocha Oscar Tabarez kushindwa kuelezea maendeleo ya mchezaji huyo kuelekea mchezo wa leo jioni.
Cavani alifunga mabao yote mawili katika ushindi wa Uruguay wa 2-1 dhidi ya Ureno hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia, kabla ya kusaidiwa na Cristiano Ronaldo kutoka nje kufuatia kuumia.
Nyota huyo wa Paris Saint-Germain alifanya mazoezi peke yake jana kuelekea mchezo wa leo na Les Bleus mjini Nizhny Novgorod.
Edinson Cavani bado yupo shakani kuichezea Uruguay dhidi ya Ufaransa leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment