Mtoto wa kocha Zinadine Zidane wa Real Madrid, Enzo Zidane (kulia) akipongezwa na mwenzeke baada ya kufunga bao lake la kwanza timu hiyo katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Cultural Leonesa kwenye mchezo wa 32 Bora Kombe la Mfalme Hispania, maarufu kama Copa del Rey Uwanja wa Bernabeu. Real inafuzu kwa ushindi wa jumla wa 13-2 baada ya awaoi kushinda 7-1 ugenini. Mabao mengine ya Real jana yalifungwa na Mariano Diaz matatu, James Rodriguez na Cesar Morgado aliyejifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kylian Mbappe 'sparked 60-man tunnel brawl' after inspiring PSG's comeback
win over Barcelona... after the jubilant forward enraged the Catalans with
a post-match comment
-
Kylian Mbappe reportedly sparked a 60-man brawl in the tunnel afterParis
Saint-Germain's comeback win over Barcelona to reach the Champions League
semi-fin...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment