Mshambuliaji wa Nice, Mario Balotelli (kushoto) akimsikiliza refa (kulia). Balotelli alitolewa kwa kadi nyekundu ya moja kwa moja dakika ya mwisho katika mchezo wa Ligue 1 dhidi ya wenyeji, Bordeaux baada ya kumchezea vibaya beki Igor Lewczuk usiku wa jana timu hizo zikitoka sare ya 0-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City sign Guehi from Palace - what will he bring?
-
Man City sign Crystal Palace captain Marc Guehi for £20m - but what will
the England defender add to Pep Guardiola's side?
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment