• HABARI MPYA

    Thursday, December 01, 2016

    ARSENAL 'YAFA KIUME' KOMBE LA LIGI, YAPIGWA 2-0 EMIRATES

    Kocha Mfaransa wa Arsenal, Arsene Wenger akiufuatilia kwa hasira mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England dhidi ya Southampton iliyoshinda 2-0 usikju wa jana Uwanja wa Emirates, mabao ya Jordy Clasie na Ryan Bertrand, yanayoipeleka Nusu Fainali timu hiyo ambako watamenyana na Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL 'YAFA KIUME' KOMBE LA LIGI, YAPIGWA 2-0 EMIRATES Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top