Eden Hazard akipongezwa na wachezaji wenzake wa Chelsea baada ya kuifungia bao la pili timu hiyo kwa penalti dakika ya 49 kufuatia yeye mwenyewe kuchezewa rafu na Simon Francis katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AFC -Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 24 na Steve Cook dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham vs Crystal Palace - Premier League LIVE: Latest score, team news
and updates as Spurs search for much-needed win in huge clash as threat of
relegation becomes reality
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Tottenham host Crystal Palace at the Tottenham Stadium in the
Premier Le...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment