Christian Eriksen akimrukia Harry Kane kumpongeza baada ya kuifungia bao la pili Tottenham dakika ya 52 kabla ya kukosa penalti dakika ya 58 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Southampton usiku wa jana Uwanja wa St. Mary's kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Spurs yalifungwa na Dele Alli mawili dakika za 19 na 87 na 85' Heung-Min Son dakika ya 85 wakati la wenyeji lilifungwa na Virgil van Dijk dakika ya pili tu ya mchezo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ex-Chelsea star Alvaro Morata moves out of family home - just days after
his wife Alice Campello denied he was having an affair with her friend - a
year on from cancelling their divorce
-
Morata and Campello rekindled their relationship last year, but Spanish
magazine Hola has reported that the couple have been living apart for
several weeks.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment