Christian Eriksen akimrukia Harry Kane kumpongeza baada ya kuifungia bao la pili Tottenham dakika ya 52 kabla ya kukosa penalti dakika ya 58 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Southampton usiku wa jana Uwanja wa St. Mary's kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Spurs yalifungwa na Dele Alli mawili dakika za 19 na 87 na 85' Heung-Min Son dakika ya 85 wakati la wenyeji lilifungwa na Virgil van Dijk dakika ya pili tu ya mchezo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham vs Crystal Palace - Premier League LIVE: Latest score, team news
and updates as Spurs search for much-needed win in huge clash as threat of
relegation becomes reality
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Tottenham host Crystal Palace at the Tottenham Stadium in the
Premier Le...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment