Paul Pogba akiwaongoza wachezaji wenzake wa Manchester United kushangilia baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 86 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Middlesbrough kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Bao lingine la United lilifungwa na Anthony Martial dakika ya 85 kufuatia Grant Leadbitter kuwafungia wageni bao la kuongoza dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham vs Crystal Palace - Premier League LIVE: Latest score, team news
and updates as Spurs search for much-needed win in huge clash as threat of
relegation becomes reality
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Tottenham host Crystal Palace at the Tottenham Stadium in the
Premier Le...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment