Paul Pogba akiwaongoza wachezaji wenzake wa Manchester United kushangilia baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 86 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Middlesbrough kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Bao lingine la United lilifungwa na Anthony Martial dakika ya 85 kufuatia Grant Leadbitter kuwafungia wageni bao la kuongoza dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City sign Guehi from Palace - what will he bring?
-
Man City sign Crystal Palace captain Marc Guehi for £20m - but what will
the England defender add to Pep Guardiola's side?
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment