Henrikh Mkhitaryan akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la tatu dakika ya 86 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Sunderland Uwanja wa Old Trafford leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya United yamefunga na Daley Blind dakika ya 39 na Zlatan-Ibrahimovic dakika ya 82 wakati la Sunderland limefungwa na Fabio Borini dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ex-Chelsea star Alvaro Morata moves out of family home - just days after
his wife Alice Campello denied he was having an affair with her friend - a
year on from cancelling their divorce
-
Morata and Campello rekindled their relationship last year, but Spanish
magazine Hola has reported that the couple have been living apart for
several weeks.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment