Kocha wa Barcelona, Luis Enrique akionyesha ishara jana Uwanja wa Jose Rico Perez mjini Alicante wakati wa mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora Kombe la Mfalme Hispania wakilazimishwa sare ya 1-1 na Hercules ya Daraja la Pili, maarufu kama Segunda B. Bao Barca iliyocheza bila nyota wake Lionel Messi, Neymar na Luis Suarez lilifungwa na Carles Alena dakika ya 58 baada ya David Mainz kutangulia kuwafungia wenyeji dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
March Madness: UConn becomes the first reigning national champions to reach
the Elite Eight since 2007 after beating San Diego State... as Clemson
spoils Arizona's homecoming hopes
-
The Connecticut Huskies extended their streak of double-digit victories in
March Madness to nine in a row with a victory over San Diego State in a
rematch ...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment