Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 88 ikiilaza 2-1 Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatano Uwanja wa Selhurst Park mjini London. Kiungo Paul Pogba alianza kuifungia United dakika ya 45 na ushei, kabla ya James McArthur kuisawazishia Palace dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cowboys Trolled by NFL Fans for CeeDee Lamb Contract Talks as St. Brown
Resets Market
-
The Detroit Lions made Amon-Ra St. Brown the highest-paid wide receiver in
the NFL with a massive contract extension on Wednesday, and that deal is
likely to…
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment