• HABARI MPYA

    Thursday, December 15, 2016

    IBRAHIMOVIC AIFUNGIA LA USHINDI MAN UNITED BADO DAKIKA MBILI

    Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 88 ikiilaza 2-1 Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatano Uwanja wa Selhurst Park mjini London. Kiungo Paul Pogba alianza kuifungia United dakika ya 45 na ushei, kabla ya James McArthur kuisawazishia Palace dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IBRAHIMOVIC AIFUNGIA LA USHINDI MAN UNITED BADO DAKIKA MBILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top