Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 88 ikiilaza 2-1 Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatano Uwanja wa Selhurst Park mjini London. Kiungo Paul Pogba alianza kuifungia United dakika ya 45 na ushei, kabla ya James McArthur kuisawazishia Palace dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Netflix stock falls after fourth quarter results top forecasts, Warner
Bros. deal hangs in the balance
-
Netflix posted fourth quarter results as it hopes to close the acquisition
of WBD.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment