Kiungo Cesc Fabregas akishangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Chelsea dakika ya 40 ikiilaza 1-0 Sunderland Uwanja wa Light usiku wa Jumatano katika mchezo wa Ligi Kuu ya England kuzidi kupaa kileleni ikifikisha pointi 40 baada ya mechi 16, sita zaidi ya Liverpool na Arsenal zinazofuatia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham 2-0 Borussia Dortmund: Spurs fizz with energy and finally cut
loose in attack to see off 10-man visitors and offer beleaguered Thomas
Frank lifeline
-
MATT BARLOW AT TOTTENHAM HOTSPUR STADIUM: After the toxic meltdown defeat
at the hands of West Ham, there were very few who expected to feast upon
these he...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment