• HABARI MPYA

    Thursday, December 15, 2016

    CHELSEA YAZIDI KUPAA KILELENI ENGLAND

    Kiungo Cesc Fabregas akishangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Chelsea dakika ya 40 ikiilaza 1-0 Sunderland Uwanja wa Light usiku wa Jumatano katika mchezo wa Ligi Kuu ya England kuzidi kupaa kileleni ikifikisha pointi 40 baada ya mechi 16, sita zaidi ya Liverpool na Arsenal zinazofuatia PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAZIDI KUPAA KILELENI ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top