• HABARI MPYA

    Wednesday, December 14, 2016

    NI MWENDO WA TUZO NA MAHELA SIMBA...MUZAMIL NAYE AKABIDHIWA LEO

    Kocha wa Simba, Mcameroon Joseph Omog (kushoto) akimkabidhi kiungo wake, Muzamil Yassin tuzo ya mchezaji bora wa klabu wa Oktoba sambamba na kitita cha Sh. 500,000 wakati wa mazoezi ya timu hiyo leo Uwanja wa Boko Veterani, Dar es Salaam. Anayechungulia kulia ni kiungo mwingine, Mwinyi Kazimoto
    Omog akifurahia na Muzamil. Mwingine kushoto ni beki Mohammed Hussein 'Tshabalala'
    Kutoka kulia kiungo James Kotei kutoka Ghana, Muzamil na Janvier Bokongu 
    Omog akizungumza na wachezaji wake wakati wa mazoezi 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NI MWENDO WA TUZO NA MAHELA SIMBA...MUZAMIL NAYE AKABIDHIWA LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top