Rehema, Kauye: Wasanii wa kikundi cha Tanzania House of Talent (THT) kinachodhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Zain Tanzania, Rehema Ramadhan na Kauye Adam wakiigiza wakati wa onyesho maalumu lililoandaliwa kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Zanaki, Dar es Salaam jana, lililoelimisha kuhusu mbinu za kupambana na maradhi ya UKIMWI na matumizi ya dawa za kulevya.
Fans rage as Nicolas Jackson 'gets away' with 'deliberately stomping' on
Takehiro Tomiyasu during Arsenal's clash with Chelsea
-
Fans are furious over the fact Nicolas Jackson 'got away' with
'deliberately stomping' on Takehiro Tomiyasu.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment