Marcelo akinyoosha kidole juu kushangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la tatu dakika ya 82 ikiilaza 3-0 Eibar usiku wa jana kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid, Hispania. Mabao mengine ya Real, Paulo Oliveira alijifunga dakika ya 18 na lingine alifunga Marco Asensio dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Booming new sport backed by Andy Murray and Rafael Nadal receives huge
boost in its bid to become an Olympic sport
-
The sport has been given a major boost in its attempts to become an Olympic
sport following the addition of a team-based competition backed by Andy
Murray ...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment