• HABARI MPYA

    Thursday, April 15, 2021

    REAL MADRID YAITUPA NJE LIVERPOOL LIGI YA MABINGWA

     

    TIMU ya Real Madrid imetinga Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya sare ya 0-0 na wenyeji, Liverpool usiku wa jana Uwanja wa Anfield.
    Real inasonga mbele kwa ushindi wa 3-1 iliyovuna kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita Hispania na sasa watamenya na Chelsea ya England iliyoitoa FC Porto ya Ureno.
    x
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REAL MADRID YAITUPA NJE LIVERPOOL LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top