• HABARI MPYA

    Friday, April 23, 2021

    KIUNGO MSTAAFU NYOTA NCHINI, AMRI KIEMBA KATIKA KOZI YA NGAZI YA KATI YA UKOCHA INAYOENDELEA KARUME


    KIUNGO wa zamani wa kimataifa wa Tanzania, Amri Kiemba ni miongoni mwa washiriki wa Kozi ya Ukocha ngazi ya kati inayoendelea kwa mafunzo ya vitendo makao makuu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Uwanja wa Karume, Ilala Jijini Dar es Salaam.

    AFISA Mhamasishaji wa klabu ya Yanga, Antonio Nugaz naye pia anashiriki wa Kozi hiyo. 




    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIUNGO MSTAAFU NYOTA NCHINI, AMRI KIEMBA KATIKA KOZI YA NGAZI YA KATI YA UKOCHA INAYOENDELEA KARUME Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top