• HABARI MPYA

    Sunday, April 25, 2021

    MAN UNITED YALAZIMISHWA SARE YA 0-0 NA LEEDS UNITED

     

    TIMU ya Manchester United imelazimishwa sare ya 0-0 na Leeds United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Elland Road Elland Road, Leeds, West Yorkshire.
    Kwa sare hiyo, Manchester United inafikisha pointi 67 na inabaki nafasi ya pili, ikizidiwa pointi 10 na vinara, Manchester City baada ya wote kucheza mechi 33.
    Leeds United wao wanafikisha pointi 47 katika nafasi ya tisa wakiizidi pointi moja Arsenal baada ya wote kucheza mechi 33 pia.
    x
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED YALAZIMISHWA SARE YA 0-0 NA LEEDS UNITED Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top