MAZOEZI YA MWISHO YANGA SC KABLA YA KUIVAA TANZANIA PRISONS KATIKA MCHEZO WA KWANZA WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA KESHO MKAPA
Nyota mpya wa Yanga SC, Muangola Carlos Carlinhos akijifua kuelekea mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kesho dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam
Kiungo wa Yanga SC, Deus Kaseke akijifua kuelekea mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kesho dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam
Kiungo mpya wa Yanga SC, Mkongo Tonombe Mukoko akijifua kuelekea mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kesho dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam
Beki mpya wa Yanga SC, Yassin Mustapha akijifua kuelekea mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kesho dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam
Wachezaji wa Yanga SC wakifurahia mazoezini kuelekea mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kesho dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam
Item Reviewed: MAZOEZI YA MWISHO YANGA SC KABLA YA KUIVAA TANZANIA PRISONS KATIKA MCHEZO WA KWANZA WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA KESHO MKAPA
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment