• HABARI MPYA

    Monday, April 20, 2020

    WACHEZAJI WA YANGA WAZURU DUKA LA MDHAMINI WAO, GSM MLIMANI CITY NA KUPATWA VIFAA VYA KUFANYIA MAZOEZI NYUMBANI

    Wachezaji wa Yanga wakiwa kwenye duka la vifaa vya michezo la mdhamini wao, GSM lililopo Mlimani City Jijini Dar es Salaam, ambako walitembelea asubuhi ya leo na kupewa vifaa vya kuwasaidia kufanyia mazoezi nyumbani kipindi hiki klabu yao imesitisha mazoezi ya pamoja kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WACHEZAJI WA YANGA WAZURU DUKA LA MDHAMINI WAO, GSM MLIMANI CITY NA KUPATWA VIFAA VYA KUFANYIA MAZOEZI NYUMBANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top