Kipa wa pili wa Simba SC, Beno David Kakolanya akiwa ametulia nyumbani kwake, Mwanjelwa mkoani Mbeya kipindi hiki klabu yake imesitisha mazoezi kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa COVID19. Kakolanya amekaririwa akisema anafurahia maisha Simba SC kutokana na namna anavyopewa ushirikiano na viongozi wa klabu hiyo
Smith drop an early blow in tale of two Ashes keepers
-
Why wicketkeeper Jamie Smith's drop on day two of second Ashes Test is
potentially worrying for England.
48 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment