Kipa wa pili wa Simba SC, Beno David Kakolanya akiwa ametulia nyumbani kwake, Mwanjelwa mkoani Mbeya kipindi hiki klabu yake imesitisha mazoezi kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa COVID19. Kakolanya amekaririwa akisema anafurahia maisha Simba SC kutokana na namna anavyopewa ushirikiano na viongozi wa klabu hiyo
Kagame tips Amavubi on teamwork ahead of Morocco tie
-
President Paul Kagame has urged the national football team, Amavubi to be
focused and play as a team in Rwanda’s second match of African Nations
Champion...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment