• HABARI MPYA

    Friday, April 10, 2020

    MATUNDA YA AKADEMI YA AZAM; AISHI MANULA NA SHAABAN IDDI CHILUNDA WAKICHEZA PAMOJA CHAMAZI

    Kipa wa Simba SC, Aishi Salum Manula (kushoto) alimkaribisha mshambuliaji wa Azam FC, Shaaban Iddi Chilunda kucheza naye Games nyumbani kwake, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam katika kipindi hiki timu zao zimesitisha mazoezi kufuatia mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19. Manula na Chilunda wote wamewahi kucheza pamoja Azam FC baada ya kuibuliwa kwenye akademi ya klabu hiyo. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MATUNDA YA AKADEMI YA AZAM; AISHI MANULA NA SHAABAN IDDI CHILUNDA WAKICHEZA PAMOJA CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top