Mshambuliaji wa Mbao FC Said Khamis Said, maarufu kama Said Junior amejiunga na klabu ya Baniyas SC ya Al Shamkha, Abu Dhabi, Falme za Kiarabu (UAE) kwa mkataba wa miaka mitatu, akijunga na chipukizi mwingine, John Tibar George aliyesajiliwa kutoka MFK Vyskov ya Daraja la Pili ya Czech, baada ya kuzichezea Ndanda FC na Singida United za nyumbani
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment