• HABARI MPYA

    Saturday, July 14, 2018

    UBELGIJI YAIPIGA ENGLAND 2-0 NA KUMALIZA WA TATU

    Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Ubelgiji bao la pili dakika ya 82 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya England leo kwenye mchezo wa kusaka mshindi wa tatu Kombe la Dunia Uwanja wa Saint-Petersburg nchini Urusi. Bao la kwanza la Ubelgiji lilifungwa na Thomas Meunier 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UBELGIJI YAIPIGA ENGLAND 2-0 NA KUMALIZA WA TATU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top