Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Ubelgiji bao la pili dakika ya 82 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya England leo kwenye mchezo wa kusaka mshindi wa tatu Kombe la Dunia Uwanja wa Saint-Petersburg nchini Urusi. Bao la kwanza la Ubelgiji lilifungwa na Thomas Meunier PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ashworth set to take Newcastle to arbitration over Man Utd move
-
Dan Ashworth is set to take Newcastle to arbitration to ensure his move to
become Manchester United's sporting director can go ahead.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment