Kevin De Bruyne akishangilia kishujaa baada ya kuifungia bao la pili Ubelgiji dakika ya 31 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Brazil leo Uwanja wa Kazan Arena nchini Urusi kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Dunia. Bao la kwanza la Ubelgiji lilifungwa na Fernandinho dakika ya 13, wakati la Brazil lilifungwa na Renato Augusto dakika ya 76 na sasa watakutana na Ufaransa katika Nusu Fainali Julai 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mike Tyson and Ric Flair sue ex-cannabis business partners for $50m over
alleged fraud and extortion
-
Attorneys working on behalf of Mike Tyson and Ric Flair have sued their
former cannabis business partners over allegations of money laundering,
extortion a...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment