Kevin De Bruyne akishangilia kishujaa baada ya kuifungia bao la pili Ubelgiji dakika ya 31 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Brazil leo Uwanja wa Kazan Arena nchini Urusi kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Dunia. Bao la kwanza la Ubelgiji lilifungwa na Fernandinho dakika ya 13, wakati la Brazil lilifungwa na Renato Augusto dakika ya 76 na sasa watakutana na Ufaransa katika Nusu Fainali Julai 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bo Nix selected by Denver Broncos at No. 12 in 2024 NFL Draft, making it
SIX quarterbacks selected in first round
-
Oregon quarterback Bo Nix was selected 12th overall in Thursday's NFL Draft
by the Broncos - marking the sixth passer taken in the first round.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment