Pablo Zabaleta akishangilia bao lake la kwanza kuifungia Manchester City tangu Desemba mwaka 2014 alipofunga kwenye Ligi ya Mabingwa dhidi ya Roma. Zabaleta alifunga bao la kwanza usiku wa Jumatano dakika ya 33 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Bao la pili lilifiungwa na kiungo David Silva dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
49ers' Brandon Aiyuk Praised 'Fire' Ricky Pearsall Pick to GM amid NFL
Trade Rumors
-
San Francisco 49ers wide receiver Brandon Aiyuk fully endorsed the team's
decision to take another wideout to open its 2024 NFL draft account. The
Niners…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment