• HABARI MPYA

    Monday, December 12, 2016

    SAMATTA APEWA WAROMANIA, POGBA KWA POGBA 32 EUROPA LEAGUE

    MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta na timu yake, KRC Genk watakutana na FC Astra Giurgiu ya Romania katika hatua ya 32 michuano ya Europa League.
    Kiungo wa Manchester United ya England, Paul Pogba wao watakutana na St Etienne, timu anayaochezea mdogo wake, beki Florentin.
    Ratiba kamili ya 32 Bora ya Europa League imetoka leo na mechi za kwanza zitachezwa Februari 16 wakati marudiano yatakuwa Februari 23, mwakani. 
    Mbwana Samatta ataiongoza Genk dhidi ya FC Astra Giurgiu ya Romania katika hatua ya 32 michuano ya Europa League PICHA ZAIDI GONGA HAPA  

    RATIBA YA EUROPA LEAGUE HATUA YA 32 BORA 

    Athletic Bilbao v Apoel Nicosia
    Legia Warsaw v Ajax
    Anderlecht v Zenit St Petersburg
    FC Astra Giurgiu v Genk
    Man Utd v St Etienne
    Villarreal v Roma
    Ludogorets v FC Copenhagen
    Celta Vigo v Shakhtar Donetsk 
    Olympiacos v Osmanlispor
    AA Gent v Tottenham
    Rostov v Sparta Prague
    Krasnodar v Fenerbahce
    Borussia M'gladbach v Fiorentina
    AZ v Lyon
    Hapoel Beer Sheva v Besiktas
    PAOK Salonika v Schalke 04 
    (Mechi za kwanza: Februari 16 
    Marudiano: Februari 23, 2017

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SAMATTA APEWA WAROMANIA, POGBA KWA POGBA 32 EUROPA LEAGUE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top