Mshambuliaji Divock Origi akikimbia na mpira kuurudisha katia uanze tena, baada ya kuifungia bao la kusawazisha Liverpool dakika ya 48 katika sare ya 2-2 na West Ham United Uwanja wa Anfield Jumapili kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la Liverpool lilifungwa na Adam Lallana dakika ya tano wakati ya Spurs yalifungwa na Dimitri Payet dakika ya 27 na Michail Antonio dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Philippe Clement insists he 'still believes' Rangers can win title despite
latest setback in Dundee stalemate, but manager admits his side 'might have
to win all five' remaining games
-
Philippe Clement insists his stuttering Rangers side can still win the
league despite their latest title lapse in Dundee. They now have one win in
their la...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment