Beki wa Everton, Ashley Williams akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la ushindi timu yake dakika ya 86 ikiilaza Arsenal 2-1 usiku wa jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Goodison Park. Alexis Sanchez alitangulia kuifungia The Gunners dakika ya 20 kabla ya Seamus Coleman kuisawazishia Toffees dakika ya 44. Everton ilimaliza pungufu baada ya Nahodha wake, Phil Jagielka kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 93 kufuatia kadi ya pili ya njano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Named: The Premier League team most likely to MISS OUT on Champions League
qualification as Opta supercomputer makes prediction after top-five battle
took another huge twist
-
Chelsea were the only one of the main contenders to win in the latest
midweek round of matches after beating rivals Aston Villa as Manchester
United and Li...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment