Novak Djokovic akipeana mikono na Stan Wawrinka baada ya kumfunga katika Nusu Fainali ya Australian Open leo kwa seti 3-2 (7-6, 3-6, 6-4, 4-6, 6-0) Uwanja wa Rod Laver Arena na sasa atamenyana na Andy Murray katika fainali Jumapili mjini Melbourne. Ikumbukwe, Djokovic alimfunga Murray katika fainali za michuano hiyo mwaka 2011 na 2013.
Alphonso Davies 'is nearing a summer move to Real Madrid amid contract
standoff with Bayern Munich'... as the player's agent slams the club's
negotiating tactics after 'attacks' on the player
-
Alphonso Davies has been issued with a contract ultimatum by Bayern Munich,
with the player's representative hitting out at the club for their 'unfair'
neg...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment