• HABARI MPYA

    Sunday, January 25, 2015

    LIVERPOOL SARE 0-0 NA BOLTON YA' BABU' HESKEY

    Emile Heskey showed he had lost little of his appetite for an aerial battle with the totemic striker winning a header against Emre Can
    Mshambuliaji wa Bolton Wandersr, Emile Heskey akienda juu kuwania mpira dhidi ya Emre Can wa Liverpool katika mchezo wa Kombe la FA, England Raundi ya Nne. Timu zilitoka sare ya 0-0, Liverpool wakikosa penalti iliyopigwa na Jordan Henderson, baada ya Matt Mills kumgonga Lazer Markovic kwenye boksi.

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2924835/Liverpool-0-0-Bolton-Wanderers-Emile-Heskey-handed-chance-knock-former-club-FA-Cup.html#ixzz3PmaxJ64L 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL SARE 0-0 NA BOLTON YA' BABU' HESKEY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top