
Suarez amefanya mazoezi kikamilifu na wenzake leo Uwanja wa Joan Gamper Sports City mjini

Kocha Luis Enrique ameahidi kumpa dakika kadhaa Luis Suarez dhidi ya Real Madrid kesho

Suarez (wa pili kuliaakizungumza na wenzake mazoezini

Messi kulia akizungumza na Neymar, wakati kushoto Javier Mascherano anazungumza na Suarez mazoezini


.png)
0 comments:
Post a Comment