
Sergio Ramos (kushoto) na Ronaldo wakijiandaa na El Clasico la kwanza msimu huu

Raphael Varane (kushoto) akipambana na beki Mbrazil Marcelo

Makipa Iker Casillas (kulia) na Keylor Navas (kushoto)

Kocha Carlo Ancelotti (kushoto) atamkosa Gareth Bale (pichani chini) ambaye ni majeruhi

Gareth Bale hakufanya mazoezi leo kwa sababu ana maumivu na hatarajiwi kucheza kesho



.png)
0 comments:
Post a Comment